Profesa wa Maliasili
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 632
- 1,910
Nina miaka Tisa kazini toka nimeajiriwa serikalini,mwezi huu nimepata barua ya uhamisho kutoka Dodoma kuja Mwanza lakini barua yangu inasema uhamisho wangu hautagharamiwa na ofisi.
Naomba kama yupo anayejua taratibu za namna ya kuandika barua ya aina hii ya madai au malalamiko kwa muajiri wangu ili anilipe stahiki zangu anisaidie,
Nimesharipoti kituo changu kipya cha kazi na ninaendelea na majukumu yangu kama kawaida,sikutaka kuukataa kuja kuripoti kwa sababu pia mwanza ni mkoa niliokuwa natamani pia kuishi.
Naomba kuwasilisha kwenu wanasheria
Naomba kama yupo anayejua taratibu za namna ya kuandika barua ya aina hii ya madai au malalamiko kwa muajiri wangu ili anilipe stahiki zangu anisaidie,
Nimesharipoti kituo changu kipya cha kazi na ninaendelea na majukumu yangu kama kawaida,sikutaka kuukataa kuja kuripoti kwa sababu pia mwanza ni mkoa niliokuwa natamani pia kuishi.
Naomba kuwasilisha kwenu wanasheria