Umeona upuuzi uloandikab.et kudeka kazi ni mkataba unaoendeshwa kisheria kulipwa sio matakwa au utashi wa mwajiliwa ni sheria za kaziNajua ni sheria, ila serikalini kuna kudeka Sana,
Sasa unalipwa mshahara, si utumie mshahara wako kuhamia huko kwingine?
Maana kama ungekuwa ndio umepata ajira upo mtwara nanyumbu harafu ajira ipo Kagera kyelwa, je utaomba hiyo taasisi ikupe HeLa ya kuhama? Unaama tu, Mambo mengine utayaweka vzr kadri siku zinavyokwemda, ndio maisha yetu sekta binafsi(hata sie tunalipa Kodi, ila ni watumishi wa umma tu wanaolipwa kwa Kodi zetu)
naomba details zako PM ntakusaidia kuandika hiyo barua japo kuwa ulitakiwa kupata transport allowance kabla hujaondoka katika ofisi yako ya kwanzaNdio hicho kipengele nimeambiwa nikitumie kwenye kudraft barua yangu, sasa namna ya kuidraft ndio shida na kuiweka kama madai
Nikipata msaada nitashukuru sana
Hawa ndo binadamu sasa anaumia na la mwenzie kama lake .afu akibarikiwa mnaanza sema freemasonrynaomba details zako PM ntakusaidia kuandika hiyo barua japo kuwa ulitakiwa kupata transport allowance kabla hujaondoka katika ofisi yako ya kwanza
umeandika kwa hisia sanaNajua ni sheria, ila serikalini kuna kudeka Sana,
Sasa unalipwa mshahara, si utumie mshahara wako kuhamia huko kwingine?
Maana kama ungekuwa ndio umepata ajira upo mtwara nanyumbu harafu ajira ipo Kagera kyelwa, je utaomba hiyo taasisi ikupe HeLa ya kuhama? Unaama tu, Mambo mengine utayaweka vzr kadri siku zinavyokwemda, ndio maisha yetu sekta binafsi(hata sie tunalipa Kodi, ila ni watumishi wa umma tu wanaolipwa kwa Kodi zetu)