Msaada kuhusu Alibaba

Msaada kuhusu Alibaba

ommyjr

Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
85
Reaction score
85
Wakuu kwa mwenye uelewa na experience ya kufanya business na Alibaba sellers aweze kutoa msaada jinsi ya ku trade nao maana inaonekana wana cheap products ila nyingi wanauza kwa jumla je vp kuhusu zile ambazo hata kwa reja reja ? Na gharama zao kwa shipping zipo vp ?
 
Wakuu kwa mwenye uelewa na experience ya kufanya business na Alibaba sellers aweze kutoa msaada jinsi ya ku trade nao maana inaonekana wana cheap products ila nyingi wanauza kwa jumla je vp kuhusu zile ambazo hata kwa reja reja ? Na gharama zao kwa shipping zipo vp ?

Wana kitengo chao mtandaoni kinachoitwa Aliexpress.Hapo wanauza bidhaa kwa uchache (hata ukihitaji kitu kimoja)
Kuhusu gharama zao soma article kwenye uzi huu chini: kuna mtu hapa JF alifafanua vizuri.
Step 10: Nilivyowekeza laki moja hadi kuanza kutengeneza milioni moja kila siku 3 (step by step)
 
Wana kitengo chao mtandaoni kinachoitwa Aliexpress.Hapo wanauza bidhaa kwa uchache (hata ukihitaji kitu kimoja)
Kuhusu gharama zao soma article kwenye uzi huu chini: kuna mtu hapa JF alifafanua vizuri.
Step 10: Nilivyowekeza laki moja hadi kuanza kutengeneza milioni moja kila siku 3 (step by step)
Shukran mkuu
 
Back
Top Bottom