Nilimpigia juz akaniambia mzigo unafika kesho unipigie,jana nmempigia kaniambia nisubirie jumatatu..kilichonipa wasi wasi n hyo ya mfumo kusema nmesha pokea percel tena kwa jina langu.Umejaribu kumpigia huyo carrier akupe majibu.....!?.
Naona namba yake hapo.
Wapigie speedaf watakupa muongozoHabari wakuu,ninaomba msaada kwa wale wazoefu wa kuagiza vitu Aliexpress,nilinunua bidhaa tarehe 18/09/2024.Percel ikafka Dar es salaam Tanzania tarehe 28/09 mm nipo Mkoa wa Tabora nikajua itanifikia hadi huku maana mara ya mwisho nilitumia posta ilifka had huku.Cha ajabu kufikia tarehe 03/10 niki track percel inanionesha kuwa mm nmeshaipokea na inanitajaView attachment 3116679 kuwa nmeipokea kwa hyo imekuwa delivered na mfumo unaniambia ndani ya siku 3 uta confirm automatic kuwa nmeshapokea.Nashindwa kuelewa itakuwa percel imekwama wap?wanaoileta n Speedaf.
Si Kuna namba za wakala, mpigie simu.Kwa Tabora unaweza ukawa unajua zilipo kaka
Nilimpigia juz akaniambia mzigo unafika kesho unipigie,jana nmempigia kaniambia nisubirie jumatatu..kilichonipa wasi wasi n hyo ya mfumo kusema nmesha pokea percel tena kwa jina langu.
Ulizia ofisi za kikuu zilipo mara nyingi hua ni hao hao.Kwa Tabora unaweza ukawa unajua zilipo kaka
Watu mnachungulia, jamaa pamoja na kufuta futa lakini wapi, jina limeonekanaSasa bwana Hussein si wameweka na namba ya courier hapo anaitwa sijui Rebeca umpigie?
Unafahamu ofisi zao zilipo kwa Dar? Msaada tafadhaliNenda kwenye ofsi zao
Hapana sifahamu. Google map inaweza kuwa msaadaUnafahamu ofisi zao zilipo kwa Dar? Msaada tafadhali
Bila shaka ulikwisha pokea mzigo wako.Habari wakuu,ninaomba msaada kwa wale wazoefu wa kuagiza vitu Aliexpress,nilinunua bidhaa tarehe 18/09/2024.Percel ikafka Dar es salaam Tanzania tarehe 28/09 mm nipo Mkoa wa Tabora nikajua itanifikia hadi huku maana mara ya mwisho nilitumia posta ilifka had huku.Cha ajabu kufikia tarehe 03/10 niki track percel inanionesha kuwa mm nmeshaipokea na inanitajaView attachment 3116679 kuwa nmeipokea kwa hyo imekuwa delivered na mfumo unaniambia ndani ya siku 3 uta confirm automatic kuwa nmeshapokea.Nashindwa kuelewa itakuwa percel imekwama wap?wanaoileta n Speedaf.
Shukrani mkuu nilifanikiwa kuwapata na nikapata mzigoHapana sifahamu. Google map inaweza kuwa msaada