Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Wanajamvi salaam,
Nina mpango wa kufungua biashara ya saloon (kinyozi) mkoani morogoro. Kwa wenyeji wa morogoro nahitaji kupata uzoefu wenu kwenye hili katika mambo yafuatayo;
Mosi, ni maeneo gani kwa mkoa wa morogoro biashara hii itachanganya au itafaa kuanzishwa?
Pili, Vipi gharama za kunyoa kwa mkoa wa morogoro ni shilingi ngapi kwa mtu mmoja?
Tatu, je kwa kawaida makubaliano kati ya mwenye kinyozi na wanaonyoa huwa yanakuwaje?
Mwisho, bei ya frem na upatikanaji wake ukoje kwa mkoa wa morogoro?
Natanguliza Shukurani zangu kwa wote mtakaotoa maoni.
Nina mpango wa kufungua biashara ya saloon (kinyozi) mkoani morogoro. Kwa wenyeji wa morogoro nahitaji kupata uzoefu wenu kwenye hili katika mambo yafuatayo;
Mosi, ni maeneo gani kwa mkoa wa morogoro biashara hii itachanganya au itafaa kuanzishwa?
Pili, Vipi gharama za kunyoa kwa mkoa wa morogoro ni shilingi ngapi kwa mtu mmoja?
Tatu, je kwa kawaida makubaliano kati ya mwenye kinyozi na wanaonyoa huwa yanakuwaje?
Mwisho, bei ya frem na upatikanaji wake ukoje kwa mkoa wa morogoro?
Natanguliza Shukurani zangu kwa wote mtakaotoa maoni.