Procurer
New Member
- Jan 3, 2021
- 4
- 3
Habari Ndugu zangu,
Napatikana Dar es Salaam nahitaji kuanza biashara ya kununua mchele kutoa mikoani kuleta kuuza jumla DSM, hivyo naombeni msaada kwa mwenye uzoefu wowote na biashara hii ili nami kijana mwenzenu nipate kujiajiri katika biashara hii.
Nina mtaji wa chini ya million 5, sijawahi kufanya biashara hii ndio nahitaji kuanza.
Nahitaji kujua ;-
1. Kuhusu upatikanaji wa mchele?
2. Gharama za kununulia
3. Gharama za usafirishaji
4. Misimu ya ununuzi wa mchele
5. Upatikanaji wa masoko
6. Kuhusu Gharama nyingine zozote zinahusika ikiwemo Ushuru na n.k
7. Mengineyo yanayohusiana na biashara hii.
Natanguliza shukrani zangu kwa wote mtakao ungana na mimi kutoa michango yenu ya mawazo.
Napatikana Dar es Salaam nahitaji kuanza biashara ya kununua mchele kutoa mikoani kuleta kuuza jumla DSM, hivyo naombeni msaada kwa mwenye uzoefu wowote na biashara hii ili nami kijana mwenzenu nipate kujiajiri katika biashara hii.
Nina mtaji wa chini ya million 5, sijawahi kufanya biashara hii ndio nahitaji kuanza.
Nahitaji kujua ;-
1. Kuhusu upatikanaji wa mchele?
2. Gharama za kununulia
3. Gharama za usafirishaji
4. Misimu ya ununuzi wa mchele
5. Upatikanaji wa masoko
6. Kuhusu Gharama nyingine zozote zinahusika ikiwemo Ushuru na n.k
7. Mengineyo yanayohusiana na biashara hii.
Natanguliza shukrani zangu kwa wote mtakao ungana na mimi kutoa michango yenu ya mawazo.