Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
Hello habari,
Naomba kufahimishwa kuhusu hili.
Iko hivi, nilimtengenezea Bima ya Afya mke wangu mwaka juzi. Kwa bahati mbaya maradhi yakamwondoa.
Changamoto nilioipata ni kushindwa kuipata kadi ya bima ya afya baada ya umauti wake. Sasa ninajipanga kuoa tena soon nilikua nataka nitoe taarifa kwa NHIF ila sasa sijui naanzia wapi kutokana na mazingira niliopo.
Kwa mwenye uelewa naomba mnisaidie hata mawasiliano aidha ya emails namba zao ili niwaandikie kuwajuza kuhusu hili.
Naomba kufahimishwa kuhusu hili.
Iko hivi, nilimtengenezea Bima ya Afya mke wangu mwaka juzi. Kwa bahati mbaya maradhi yakamwondoa.
Changamoto nilioipata ni kushindwa kuipata kadi ya bima ya afya baada ya umauti wake. Sasa ninajipanga kuoa tena soon nilikua nataka nitoe taarifa kwa NHIF ila sasa sijui naanzia wapi kutokana na mazingira niliopo.
Kwa mwenye uelewa naomba mnisaidie hata mawasiliano aidha ya emails namba zao ili niwaandikie kuwajuza kuhusu hili.