Mussa Ubapa
Member
- Sep 18, 2017
- 49
- 19
Shukrani....It has a bright future. Tafuta chuo usome and you will never regret.
Ahsante bro....Hizi kozi mpya zinazoanzishwa kwenye hii nchi yetu ni risk sana, tulianza na petrolium engineering mpaka sasa wahitimu wako mtaani, sasa tumekuja kwenye biomedical!
Kwa kifupi mkuu hiyo ni kozi nzuri sana ila kwa hapa tanzania daaah, as i said its risky ila unaweza take risk may be pakawa na greater reward badae!!
NB: Ukiwa unasoma usiwaze sana kuhusu ajira, soma kwa bidii ufaulu, huku mtaani siku hizi hakuna uhakika wa ajira maana hata MD tuko nao tu mtaani!!