Mussa Ubapa
Member
- Sep 18, 2017
- 49
- 19
Tafadhali mwenye uelewa mpana kuhusu hii health care field.......kuhusiana na future prosperity yake katika nnchi yetu,nnchi za wenzetu ambazo zipo vizuri katika field hii,katika ufundishaji.....uhitaji wake katika health care units na ma hospitals......
Tafadhali dondosha comment yoyote kuhusiana na mada tajwa hapo juu...hata kama ni side negative effects zke
Tafadhali dondosha comment yoyote kuhusiana na mada tajwa hapo juu...hata kama ni side negative effects zke