Msaada kuhusu Chuo cha Dodoma (UDOM)

Msaada kuhusu Chuo cha Dodoma (UDOM)

WIZ KID

Senior Member
Joined
Apr 12, 2015
Posts
135
Reaction score
4
swala langu nikuhusu special program ya diploma walimu wa sayansi and mathematics Dodoma .je nivigezo vipi wanaviangalia ,halafu je mwaka huu watachukua ? nani kuanzia mwezi wangapi maombi yanaanza kutumwa? msaada wadau
 
wanachukua ila unapaswa kutuma maombi moja kwa moja chuoni udom kwa kujaza fomu inayopatikana ktk website ya chuo UDOM-WEB. walianza kupokea maombi kitambo na deadline June 30. Pia kama unahitaji gharama za masomo, chakula na malazi ulipiwe unapaswa kutuma maombi bodi ya mikopo Kwani program hizo zinapewa mkopo tena ada unapewa 100%
 
swala langu nikuhusu special program ya diploma walimu wa sayansi and mathematics Dodoma .je nivigezo vipi wanaviangalia ,halafu je mwaka huu watachukua ? nani kuanzia mwezi wangapi maombi yanaanza kutumwa? msaada wadau

usituchoshe ngoja kwanza tuchague rais na tutakujuza kwani kwa sasa kila mtu ameshachukuwa team yake na tunachanja tu mbuga.
 
swala langu nikuhusu special program ya diploma walimu wa sayansi and mathematics Dodoma .je nivigezo vipi wanaviangalia ,halafu je mwaka huu watachukua ? nani kuanzia mwezi wangapi maombi yanaanza kutumwa? msaada wadau
ingia hapa;
www.udom.ac.tz
 
We kweliii wizkid bongo lalaaa watuu walishaaply we ndo unataka uende awamu ya nne auuu we sio mwalimu kabisa kufeli kwakoo na njaa zakoo ndo zinakutuma uende special retarded education
 
mbona umechelewa sasa?inaelekea ulikuwa hupendi ualimu,ila njaa tu,pole ss wa awamu ya 1 tunakaribia kufunga chuo mwaka wa1.
 
Back
Top Bottom