Msaada Kuhusu Chuo Cha Madini.

kanjibhai

Member
Joined
Jun 27, 2013
Posts
50
Reaction score
9
Heshima kwenu GT.
Mimi ni mmoja wa wahitimu niliofanya vibaya katika matokeo ya kidato cha sita. Sasa nataka nitumie cheti changu cha form 4 nikasome diploma ya madini. Ukiacha chuo cha madini cha dodoma mana admision zmefanyika, ni chuo gani kingne bora kinachofundisha madini nchini kwetu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…