Heshima kwenu GT.
Mimi ni mmoja wa wahitimu niliofanya vibaya katika matokeo ya kidato cha sita. Sasa nataka nitumie cheti changu cha form 4 nikasome diploma ya madini. Ukiacha chuo cha madini cha dodoma mana admision zmefanyika, ni chuo gani kingne bora kinachofundisha madini nchini kwetu?
Mimi ni mmoja wa wahitimu niliofanya vibaya katika matokeo ya kidato cha sita. Sasa nataka nitumie cheti changu cha form 4 nikasome diploma ya madini. Ukiacha chuo cha madini cha dodoma mana admision zmefanyika, ni chuo gani kingne bora kinachofundisha madini nchini kwetu?