nimahussein
Senior Member
- Sep 17, 2013
- 181
- 27
The use of living organism,or living organism associates in technological field..Hwa ndio huwa wanafanya culturing,wanatengeneza sijui insulin kwa kutumia bakteria na the likes.Ina uhusiano wa moja kwa moja na genetic engineering..Kwa knowledge ya biology tu,walio deep wataongezea
na wanaajiriwa sana sehemu gani,maana kuna mdogo wangu ndio anataka kusoma hio,
Muulize ishu boy kwanini alianza kupigisha malekcha mchikichini nakati alikua and 2nd upper class ya SUA...
Bongo hii mambo haina ishu kabisa....
duuh,wadau mnanitisha sasa,vipi kuhusu actuarial science