snayper
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 302
- 217
Habari za wakati huu,
Nina mdogo wangu amemaliza form six comb ya CBN na angependa kusoma kati ya hizi course mbili Bsc in Human Nutrition au Bsc in Food Science and Technology.
Mwenye ana uelewa wa hizi course mbili zinadeal na nini haswa, na soko lake katika ajira liko vipi?
Nina mdogo wangu amemaliza form six comb ya CBN na angependa kusoma kati ya hizi course mbili Bsc in Human Nutrition au Bsc in Food Science and Technology.
Mwenye ana uelewa wa hizi course mbili zinadeal na nini haswa, na soko lake katika ajira liko vipi?