pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
Samahani wakuu mwenzi uliopita kuna ndugu yangu aliitwa kufanya interview ya customer care vodacom na hii kampuni na walifanya written interview wakaambiwa wataitwa tena kwa oral interview je huwa inachukua muda gani kupata second call maana mpaka sasa hawajamuita na yupo anangoja mwenzi sasa je huwa wanachukuwa muda gan maana dogo kashajikatia tamaa