Msaada kuhusu Erolink

Msaada kuhusu Erolink

pettymarcel

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2012
Posts
2,161
Reaction score
880
Samahani wakuu mwenzi uliopita kuna ndugu yangu aliitwa kufanya interview ya customer care vodacom na hii kampuni na walifanya written interview wakaambiwa wataitwa tena kwa oral interview je huwa inachukua muda gani kupata second call maana mpaka sasa hawajamuita na yupo anangoja mwenzi sasa je huwa wanachukuwa muda gan maana dogo kashajikatia tamaa
 
mmh aendelee kusubiri..ila kwa info nilizonazo, zitakukatisha tamaa, mi naona ni bora aende tu mwenyewe pale ofisi zao atapata majibu coz huwezi kukaa zaidi ya mwezi unasubiria call tu
 
huwa hawachukui zaidi ya siku 3 kuita kwa oral interview,akiona kimya ajue ni unsuccesful
 
Back
Top Bottom