Makirita Amani
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,915
- 3,422
nataka kuweka fedha katika fixed account, naomba kwa wenye uelewe mniambie ni bank gani hapa tanzania ambayo inatoa kiwango kikubwa cha riba kwenye fixed account. au kama kuna benk yenye akaunt fulani ambayo inatoa riba kubwa.