Kwa graduate wa Clinical Officer ambao wameshindwa kumaliza na GPA nzuri i. e zaidi ya 3 ili waweze kuendelea na masomo ya ngazi inayofuata, hivi inawezekana kusoma foundation kozi?
Na vyuo gani vinavyopokea watu wa design hio?
Mwenye uelewa naomba msaada.
Na vyuo gani vinavyopokea watu wa design hio?
Mwenye uelewa naomba msaada.