baba mausingizi
Senior Member
- Jun 15, 2016
- 189
- 119
Hicho kimlio sijui. Ila angalia.Wakuu gari yangu IST nikiweka gear D kabla sijaondoka inashtuka alafu kama kuna kimlio inaweza kuwa ni tatizo nn
Kawaida tu na tatizo lineanza baada ya kumwaga oil ya gearboxUnaachiaje brake. Slowly au Fast? Limeanza lini?
Maybe kutakuwa na shida maana vyote vipo sawaHicho kimlio sijui. Ila angalia.
1. Idle speed (sailensa)
2. Oil kama inatosha.
Otherwise gearbox yako ina shida
Umeweka ipi? Picha ya kopo..Kawaida tu na tatizo lineanza baada ya kumwaga oil ya gearbox
Dah mwezi sasa kopo nishatupa ila nilinunua 93000 hvUmeweka ipi? Picha ya kopo..
Kama sio hii ATF Type T-IV paki gari nenda Toyota kanunue nyingine.Dah mwezi sasa kopo nishatupa ila nilinunua 93000 hv
Ist ya mwaka gani?Wakuu gari yangu IST nikiweka gear D kabla sijaondoka inashtuka alafu kama kuna kimlio inaweza kuwa ni tatizo nn
2002 mkuuIst ya mwaka gani?
Kawaida tu na tatizo lineanza baada ya kumwaga oil ya gearbox
hii mkuu inaweza tumika mpaka kwenye Toyota sienta
Engine almost zinafanana. Ila kuhakikisha Chomoa dipstick hafu isome imeandikwaje hapa:hii mkuu inaweza tumika mpaka kwenye Toyota sienta
badilisha gearbox mounting weka nyingineWakuu gari yangu IST nikiweka gear D kabla sijaondoka inashtuka alafu kama kuna kimlio inaweza kuwa ni tatizo nini
Kawaida tu na tatizo lineanza baada ya kumwaga oil ya gearbox
2002 mkuu
Nashukuru nimefanya hvyo tatizo limeishabadilisha gearbox mounting weka nyingine
Toa hiyo transmission fluid uliyoweka ni mbaya. Nunua ATF yenye kiwango cha juu hata kama bei ni ghali, ATF za sh 5000 ni rahisi wakati unanunua lakini ni ghali sana kwa matatizo italeta kwenye gearboxWakuu gari yangu IST nikiweka gear D kabla sijaondoka inashtuka alafu kama kuna kimlio inaweza kuwa ni tatizo nini
Asante mkuuToa hiyo transmission fluid uliyoweka ni mbaya. Nunua ATF yenye kiwango cha juu hata kama bei ni ghali, ATF za sh 5000 ni rahisi wakati unanunua lakini ni ghali sana kwa matatizo italeta kwenye gearbox
Hiyo clicking inasababishwa na ATF na ukiacha iendelee gearbox inakufa, na ukichunguza zaidi hata ubadilishaji lazima inachelewa hiyo nayo ni gharama kwa matumizi ya mafuta