YATIMA WA TCU
Member
- Aug 10, 2013
- 58
- 5
nashukuru xana mkuu bt naomba unijuze kidogo inahusiana na nn aswaaa..
mm nimuhitimu wa kidato cha 6 mwaka huu nimefanya 2 round app imenbidi nachague geoinformatcs haliyakwamba sifahamu chochote kuhusiana na geoinformatics aswa ktk swala laajira msaada jaman naomba kusaidiwa soko lake laajira lipo vp.
Ni course nzuri lakini sio saaana kama wanavyosema inahusika na mambo ya kurekodi au kutunza data za Geomatics kwenye system. For my advice ukichaguliwa course hiyo uombe kuhamia Information System Management ipo school moja na hiyo Geo.... lkn ile better than Geo.... kwakuwa unaweza fanya kazi za IT kawaida na za Geoinformatics
sawaa kakaa nashukuru sana
satedteGeoinformatics ni sayansi au teknolojia inayosshughulika na taariafa ya anga (spatial), ukusanyaji wake, mchanganuo , hifadhi yake, processing na usambazaji wake, ikiwa ni pamoja na miundombinu muhimu ya kupata matumizi bora ya habari hii. Kwa kifupi geoinformatics inashughulika zaidi na mambo ya survey vikiwemo viwanja n.k. Ni kozi nzuri sana hautajuta kuichagua. Utaweza pata kazi wizara ya ardhi, manispaa, migodini, civil works, na sehemu nyingi tu zinazofanana na matumizi ya ardhi. Inatumia Geographyical Information Systems (GIS).