YATIMA WA TCU
Member
- Aug 10, 2013
- 58
- 5
mm nimuhitimu wa kidato cha 6 mwaka huu nimefanya 2 round app imenbidi nachague geoinformatcs haliyakwamba sifahamu chochote kuhusiana na geoinformatics aswa ktk swala laajira msaada jaman naomba kusaidiwa soko lake laajira lipo vp.