silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Wana jukwaa la Sheria, naomba msaada wenu
Ni wiki Tatu sasa tokea Askari mmoja pale Tegeta kwa ndevu, kituoni kuninyang'anya Leseni yangu. na amekuwa akinizungusha kunipatia kwa kigezo cha kwamba nikimlazimisha sana atakipeleka kwa RCO ili aifute Leseni hiyo.
Nimekuwa nikiwaza na kuwazua, nijue sheria aliyoitumia Askali huyo ambaye muda wte namkuta amelewa Pombe ili na mimi niweze kumkamata kwenye sheria nimekosa.
Scenario ilikuwa hivi, Alinikamata baada ya kupiga uturn sehemu ambayo anadai haikuruhusiwa, lakini kibao cha no uturn hakikuwepo, hivyo nikamwambia anioneshe alama ya no uturn na kuniambia hilo si kosa bali yeye anataka kunikagua, nikampa Leseni, akaaikagua na kuondoka nayo, kisha hapo ndipo yakatokea mabishano ya yeye anirudishie leseni niendelee na safari wakati yeye anasema anasubiri tuelewane.
Ni wiki Tatu sasa tokea Askari mmoja pale Tegeta kwa ndevu, kituoni kuninyang'anya Leseni yangu. na amekuwa akinizungusha kunipatia kwa kigezo cha kwamba nikimlazimisha sana atakipeleka kwa RCO ili aifute Leseni hiyo.
Nimekuwa nikiwaza na kuwazua, nijue sheria aliyoitumia Askali huyo ambaye muda wte namkuta amelewa Pombe ili na mimi niweze kumkamata kwenye sheria nimekosa.
Scenario ilikuwa hivi, Alinikamata baada ya kupiga uturn sehemu ambayo anadai haikuruhusiwa, lakini kibao cha no uturn hakikuwepo, hivyo nikamwambia anioneshe alama ya no uturn na kuniambia hilo si kosa bali yeye anataka kunikagua, nikampa Leseni, akaaikagua na kuondoka nayo, kisha hapo ndipo yakatokea mabishano ya yeye anirudishie leseni niendelee na safari wakati yeye anasema anasubiri tuelewane.