Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Habari WanaJF Naomba msaada kuhusu hawa jamaa na hii A/C yao ya TAJIRIKA wao ndo pekee wanaotoa RIBA au kuna wengine na kuna akaunti zingine zitoazo RIBA Hata kama ni BANK tofauti na Taratibu za kufungua A/C zikoje?Na hata distribution ya matawi yao.