Msaada kuhusu haya maumivu ya kichwa

Msaada kuhusu haya maumivu ya kichwa

Santana

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2019
Posts
300
Reaction score
940
Habari za asubuhi Wana JF natumaini wengi ni wazima wa afya wengine tunachangamoto ndogondogo za kiafya .Ngoja niende moja kwa moja kwenye shida yangu.

Toka jumamosi jioni nahisi maumivu ya kichwa kwa upande wa juu apa na pembeni na kama nikiinama kwa mbele ivi Hali ndo inabizidi kuwa mbaya ,Ila Kuna mda maumivu yanatulia badae Hali inarudi ileile.

Msaada kwa watalaamu wa afya
 
Habari za asubuhi Wana JF natumaini wengi ni wazima wa afya wengine tunachangamoto ndogondogo za kiafya .Ngoja niende moja kwa moja kwenye shida yangu..
Hakuna hospitali huko kwenu?

Haya leta mkojo, stool na uje maabara tukutoe damu. Mods watapokea samples
 
Habari za asubuhi Wana JF natumaini wengi ni wazima wa afya wengine tunachangamoto ndogondogo za kiafya .Ngoja niende moja kwa moja kwenye shida yangu.
Toka jumamosi jioni nahisi maumivu ya kichwa kwa upande wa juu apa na pembeni na Kama nikiinama kwa mbele ivi Hali ndo inabizidi kuwa mbaya ,Ila Kuna mda maumivu yanatulia badae Hali inarudi ileile .
Msaada kwa watalaamu wa afya
Kwanza kabisa elewa kuna vitu ambavyo vinaweza kusababisha kichwa kukuuma kama;

1. Kukosa usingizi kwa muda mrefu,
Kutokunywa maji mengi,
Kupungukiwa damu,
Kuwa na mafua.

2. Changamoto za kiroho/nguvu za giza na hii ilishawahi kunikuta ikiambatana na kizunguzungu na kifua kubana ilihali vipimo vya Hospitalini vya mwili mzima havikuweza kamwe kubaini hayo magonjwa yote yalisababishwa na nini.

Sababu ya kwanza nenda Hospitalini kuonana na Dokta kisha hakikisha umechukua vipimo kujua chanzo cha tatizo lako.

Sababu ya pili wapaswa kusimamia imani thabiti kwa maombi ya mara kwa mara, kusali usiku wa manane na kufunga inapobidi.
 
Habari za asubuhi Wana JF natumaini wengi ni wazima wa afya wengine tunachangamoto ndogondogo za kiafya .Ngoja niende moja kwa moja kwenye shida yangu.

Toka jumamosi jioni nahisi maumivu ya kichwa kwa upande wa juu apa na pembeni na kama nikiinama kwa mbele ivi Hali ndo inabizidi kuwa mbaya ,Ila Kuna mda maumivu yanatulia badae Hali inarudi ileile.

Msaada kwa watalaamu wa afya
Hicho itakuwa kipanda uso mkuu, mojawapo ya dalili ingine pia ni kuumizwa na mwanga wa taa
 
Nashukuru kwa maoni yenu Leo mida ya mchana nilipata mda wa kwenda hospitali Ila hamna ugonjwa wowote
 
Tuwekee picha ya ushuzi wako pamoja na damu ili tukupatie kipimo sahihi, kama itashidikana hii basi wahi hospitali iliyo karibu nawe hapo kwenu.
 
Back
Top Bottom