Msaada kuhusu hii twitter ya Kiyosaki

Msaada kuhusu hii twitter ya Kiyosaki

Majaribio ya chanjo yameshafanywa
Na Sasa inatakiwa kila mtu apigwe chanjo la sivyo hautaweza Kutoka kudrive, school or Any outside events, UHURU umeondoka
 
Kuhusu hii ishu ya corona mpaka sasa hivi nina conspiracy zisizo pungua kumi,
1. China ametengeneza ugonjwa ili awashushe wengine kiuchumi

2. Marekani ametengeneza ugonjwa ili awape msala China kwenye umoja wa mataifa

3. Ugonjwa ulitabiriwa miaka mingi siku nyuma na waandishi wa vitabu mbali mbali

4. Ugonjwa ulitengenezwa kwa corabo ya Mmarekani na China ili waweze kuicontrol dunia vizuri

5. Huu ugonjwa ni pigo kutoka kwa Mungu kwa ajili ya kuwakumbusha watu warudi katika njia yake

6. Ugonjwa ulitabiriwa na (da vinci kama nitakuwa sijakosea) kuwa utaenda kuua uchumi wa dunia

7. Marekani ametengeneza ugonjwa ila ameshindwa kuucontrol na hivyo kupelekea mlipuko mkubwa

8. Mkakati wa new world order katika kupunguza population ya dunia ili kuimarisha utawala wao

9. Ugonjwa ni kama magonjwa mengine tu ya kawaida hauna maana yoyote

10. Huu ndio mwisho wa dunia yani kiama kimefika au parapanda ndio inakwenda kulia kwa hiyo muda wa unyakuo umefika

Na mengine mengi mengi aisee[emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ighalamu,


ighalamu, aisee kwakweli ni nouma

Sent using Jamii Forums mobile app



Kuhusu hii ishu ya corona mpaka sasa hivi nina conspiracy zisizo pungua kumi,
1. China ametengeneza ugonjwa ili awashushe wengine kiuchumi

2. Marekani ametengeneza ugonjwa ili awape msala China kwenye umoja wa mataifa

3. Ugonjwa ulitabiriwa miaka mingi siku nyuma na waandishi wa vitabu mbali mbali

4. Ugonjwa ulitengenezwa kwa corabo ya Mmarekani na China ili waweze kuicontrol dunia vizuri

5. Huu ugonjwa ni pigo kutoka kwa Mungu kwa ajili ya kuwakumbusha watu warudi katika njia yake

6. Ugonjwa ulitabiriwa na (da vinci kama nitakuwa sijakosea) kuwa utaenda kuua uchumi wa dunia

7. Marekani ametengeneza ugonjwa ila ameshindwa kuucontrol na hivyo kupelekea mlipuko mkubwa

8. Mkakati wa new world order katika kupunguza population ya dunia ili kuimarisha utawala wao

9. Ugonjwa ni kama magonjwa mengine tu ya kawaida hauna maana yoyote

10. Huu ndio mwisho wa dunia yani kiama kimefika au parapanda ndio inakwenda kulia kwa hiyo muda wa unyakuo umefika

Na mengine mengi mengi aisee[emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app


aisee kwakweli ni nouma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii haifai 😁😁😁

1586429617695.png
 
Am not Anti-vax, I just Summarize the Tweet into Swahili. Inaonekana there is Something behind those Vaccines that's why Kiyosaki Said Freedom Gone
Kwani huyu Kiyosaki ni nani mpaka tweet yake ipewe kipaumbele?
 
Mnataka uhuru wa kufa na corona?

Toka uzaliwe umepigwa chanjo ngapi? Zimechukua uhuru wako upi?

Ndio maana yake, hutaki kupigwa chanjo kaa ndani usifanye huduma tajwa ili uwaambukize wengine.

Hakuna kiongozi atakayekubali uwaambukize wengine kisa ujinga wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumechanjwa chanjo nyingi tangu ukoloni
Huu ugonjwa bila chanjo hautaondoka kimzaha
Sisi ni nani wa kuwabeza kwa chanjo?


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom