msaada kuhusu ifunda

msaada kuhusu ifunda

Nyakageni

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2011
Posts
15,045
Reaction score
5,108
kwa anayefahamu mawasiliano kuhusu IFUNDA, naomba. Na pia shule ikoje kwa pcb msichana?
 
Hakuna shule inayokufaulisha pasipo juhudi binafsi,kuna dogo m1 amepata one ya 14 lkn anaeyemfuata ana iii ya mwisho na waliobaki ni zero,iv chache,kama unataka kumjua niku-PM shule aliyotoka uangalie mwenyewe.
 
Ifunda lazima ukaliwe kichwa na dr ndalichako dogo..tena kwa comb hyo!
 
Ifunda ip? Mana kuna ifunda mbili, ifunda girls na ifunda tech.
 
Back
Top Bottom