minzakunza
Senior Member
- Oct 15, 2015
- 182
- 412
Kinacho endelea ni Israel iko under Hammas attack 😏Nawasalimu wote
Tafadhali naombeni msaada au ufafanuzi, leo tangu asubui jamii forum imegoma kufunguka kwangu
Nimehangaika sana kuzima simu na kuwasha, ku unstall app na ku install upya jaribu kila kitu ikashindikana. Mida hii nikapata wazo la kutumia vpn naona imefunguka ni nini kinaendelea, ni kwangu tu au kuna mtu mwingine kapata shida hii.
Kama huna cha kuchangia nyamazaMkuu weka bando. Acha kulalamika
Imefunguka baada ya kuwasha vpnUmewezaje kupost thread kama jf haifunguki??
Ngoja nami nifanye hivyominzakunza uko sahihi, hili tatizo limenikumba hata Mimi. Chrome imegoma, nimedownload mini opera ndio naitumia Kwa sasa. Pole sana.
OkayImefunguka baada ya kuwasha vpn
Karibu kwenye web huku mambo ni mukideeNa nimeshai fanya update ila huu mzaha hauondokiView attachment 2774284
Natumia browser
App inazingua
Ova
VPN, VPN, VPN, VPN, ..... blablabla... kwahiyo ukisema VPN ndo utaonekana mshua au? Kwanza elezea VPN ndo nini? Virtual Private Network ndo nini?Nawasalimu wote
Tafadhali naombeni msaada au ufafanuzi, leo tangu asubui jamii forum imegoma kufunguka kwangu
Nimehangaika sana kuzima simu na kuwasha, ku unstall app na ku install upya jaribu kila kitu ikashindikana. Mida hii nikapata wazo la kutumia vpn naona imefunguka ni nini kinaendelea, ni kwangu tu au kuna mtu mwingine kapata shida hii.
Nawasalimu wote
Tafadhali naombeni msaada au ufafanuzi, leo tangu asubui jamii forum imegoma kufunguka kwangu
Nimehangaika sana kuzima simu na kuwasha, ku unstall app na ku install upya jaribu kila kitu ikashindikana. Mida hii nikapata wazo la kutumia vpn naona imefunguka ni nini kinaendelea, ni kwangu tu au kuna mtu mwingine kapata shida hii.
Hao wahuni wanaojiita Israel, leo wamekiona cha mtema kuni.Hamas wameharibu mifumo ya mawasiliano