Msaada Kuhusu Jino

Lincon

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
465
Reaction score
112
Za Muda Wakuu

Mwezi Mmoja Uliopita Nilipata Ajali, Katika Hiyo Ajali Nilivunjika Jino La Mbele Juu Limebaki Kipande Kidogo sana.
Nataka Nikakitoe Hicho Kipande Kilichobakia
Niweke Jino La Bandia.
Kabla Sijalitoa Nataka Kufahamu Yafuatayo.
Je Wakati Nakula Nitakuwa Nalitoa Hilo Jino La Bandia Au Vip?
Hospitali Ipi Nzuri Ninaweza Kupata Hiyo Huduma Kwa Hapa Dar.

Natanguliza Shukrani Kwa Wote mtakaonisaidia
 
Kinondoni muembe jini kwa dokta seif
 
Shukrani Mkuu.
Mim Sio Mwenyeji Wa Dar Nakuja Tu Kikazi Siku Mbili Tatu Naondoka. Naomba Info Za Kufika Hapo Hsptl

Mkuu maeneo gani unayajua hapa dar? Tutaanzia hapo, utafika tu
 
Nikija Dar Nafikia Mbagala Na Kariakoo Kdogo

Ukifika kariakoo unaweza fanya hivi, chukua ata taxi mwambie akupeleke makaburi alipozikwa Kanumba (kinondoni makaburini). Hiyo hospitali iko opposite na hayo makaburi, kama ni kupanda daladala chukua linaloenda Mwananyamala utashuka kituo Muembe jini, unavuka barabara, umefika
 

Shukrani Mkuu Kwa Msaada, Nitaufanyia Kaz
 

Nenda muhimbili...hindu mandal...regency
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…