Utaingia ila hiko cheti hakichukuliwi kama mwanafunzi wa elimu ya juu, na kama utaingia kitakachokubeba ni cheti cha form 4 na sio hiko cheti cha sheria afu jeshi lina mlolongo mkubwa hivyo ni vyema ukasoma kwanza maliza hiyo dip ndio ujiinge
Unaingia jkt miezi 6 hadi umalize, ukitoka hapo unakaa kama miezi miwili hivi afu ndio ukapige depo la jwtz nayo ni miezi kama 5 hivi hadi umalize baada hapo ndio upangiwe kituo na kumbuka hauwezi ripoti tu afi ukapewa ruhusa ukasome tena kumbuka ukiajiliwa baada ya kureport unakaa miaka kama 4 hivi ndio unapewa uhuru wa kukaa nje ya kambi