Msaada kuhusu Kidney renal cyst

Msaada kuhusu Kidney renal cyst

Victor Chilambo

Senior Member
Joined
Jan 31, 2019
Posts
122
Reaction score
62
Nilikua nasumbuliwa na tumbo ambalo nilidhani ni tumbo la kawaida, kwani lilikua limewai kuniuma mara kadhaa apo nyuma sana .
Kwa kipindi hiki likaja na maumivu makali zaidi ambayo hua naya sikia upande wa kulia maeneo ya tumboo.nilikwenda hospital ilioko mwanza itwayo butimba ndipo baada ya kukutana na daktarii nikaambiwa kupima kwa kutumia ultrasound na matokeo yakaja kwamba nina right kidney renal cyst nikapewa dawa na kuambiwa nirudi baada ya muda furani kuangalia kama kuna mabaliko but tulikuta hakuna kilicho badilika nikapewa tiba nyengine nayo haikufanya kazi so nilikua naomba kupata msaada kua ugonjwa huu unatibikaa au??
 
Pole sana mkuu..mungu atakusaidia..kwa jinsi nilivyousoma huo ugonjwa mitandaoni hauna madhara makubwa...mungu atakuwa pamoja na wewe mkuu
 
Asante sana mkuu vipi ujapata fununu kua unatibika au
Kutokana na nilivyosoma ni kitu cha kawaida kutokea katika kidney...hayo maumivu ni complication zake na unatibika...but tuwasubiri wataalamu zaidi waje watuelezee
 
Back
Top Bottom