Wanajf ninaomba anayekifahamu kipimo hiki anieleweshe!Ni kipimo nimeambiwa unalipia sh.30000,wewe ni kukaa na kusubiria majibu ndani ya dakika chache!Utaambiwa shida zako zote!Kwa kuwa ni suala la kiafya ninaomba wataalamu njooni mnielimishe kwani kama mnavyojua sasa hivi "afya" imegeuzwa ni biashara kwa baadhi ya watu!Ninaomba mnaponijibu mnielimishe ubora na usahihi wa kipimo hicho maana kwa uelewa wangu huu kiduchu naona kama kinatumia mionzi ingawa sina uhakika!!MSAADA TAFADHALI NIMEAMBATANISHA NA PICHA