Msaada kuhusu kodi ya uchakavu

Msaada kuhusu kodi ya uchakavu

mito

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2011
Posts
10,682
Reaction score
10,801
Wakuu kuna gari nimeipenda, ila ni ya mwaka 2003, wasiwasi wangu ni je ina kodi ya uchakavu? nimepitia nyuzi za magari pamoja na website ya tra lakini sijaelewa namna tra wanavyohesabu hiyo miaka 10 yao. Naomba mwenye uzoefu anijuze tafadhali
 
Mkuu hiyo tayari ina miaka 10 uchakavu upo. Unatakiwa kununua gari ya kuanzia mwaka 2004 ili usiwekewe uchakavu
 
gari yako ina
1.cc ngapi?
2.aina ya gari-model yake?
3.mwaka-2003-ok
 
Mkuu hiyo tayari ina miaka 10 uchakavu upo. Unatakiwa kununua gari ya kuanzia mwaka 2004 ili usiwekewe uchakavu

Daah, nashukuru sana mkuu, ila umenikata maini kabisaaaaa!
 
gari yako ina
1.cc ngapi?
2.aina ya gari-model yake?
3.mwaka-2003-ok

Mkuu kweli ulisoma vizuri mada? nilitaka tu kujua kama 2003 models zina uchakavu
 
Ni kweli ina uchakavu..ila dumping fee isikusumbue kama gari umelipenda huyo mchangiaji hapo juu kakuuliza mambo ya cc na aina ya gari lilikuwa swali zuri maana ukijumlisha na cif ungewezajua gharama za uchakavu...gari la mwaka 2003 lina uchakavu lakini TRA wanawezakubali kuwa CIF yake ni $2500 lakini gari la 2005 halina uchakavu na TRA hawatakubali kuwa CIF yake ni $2500 watasogeza juu (uplift)na kuwa $3200 sasa japo huyu hatalipa uchakavu lakini anawezalipa kodi ya juu au sawa na wewe unayelipia uchakavu..sasa unachotakiwa kufanya kama umelipenda lichukue agent wako anaweza kuweka CIF ya chini..hesabu ikawa chini
 
Ni kweli ina uchakavu..ila dumping fee isikusumbue kama gari umelipenda huyo mchangiaji hapo juu kakuuliza mambo ya cc na aina ya gari lilikuwa swali zuri maana ukijumlisha na cif ungewezajua gharama za uchakavu...gari la mwaka 2003 lina uchakavu lakini TRA wanawezakubali kuwa CIF yake ni $2500 lakini gari la 2005 halina uchakavu na TRA hawatakubali kuwa CIF yake ni $2500 watasogeza juu (uplift)na kuwa $3200 sasa japo huyu hatalipa uchakavu lakini anawezalipa kodi ya juu au sawa na wewe unayelipia uchakavu..sasa unachotakiwa kufanya kama umelipenda lichukue agent wako anaweza kuweka CIF ya chini..hesabu ikawa chini

Ushauri mzuri, kiukweli nimelipenda!
 
gari yako ina
1.cc ngapi?
2.aina ya gari-model yake?
3.mwaka-2003-ok

Mkuu samahani sana, kutokana na ushauri wa mdau lucky sababa nadhani ulitaka kushauri zaidi, I thought you overlooked!
Ni Suzuki Swift, ina cc 1300, ni ya mwaka 2003, CIF value USD 2,166
 
Kama ni gari ndogo ambayo cc zake ni ndogo chuku haitakusumbua,unajua ata ukiangalia kwenye showroom zetu magari mengi yamezidi miaka 10 na ndio yanayolipa sana kibiashara,ata wewe haitakuumiza kama wengi wanavyofikiria,unawezaagiza gari lenye uchakavu ukalipa kodi ndogo zaidi ya aliyeaagiza lisilo na uchakavu maana CIF yako itakuwa chini as long as your cc ni ndogo kama hilo...ata huko Japan/Dubai wanapata faida kubwa wanapouza gari za miaka ya nyuma..
 
Mkuu lucky sabasaba je, unaweza kuchukua data zake hizo na kukokotoa jumla ya kiasi mito atakacholipa mpaka kulitoa gari lake?
 
Last edited by a moderator:
Mwezi wa tatu nilitoa aina hiyohiyo ila lilikuwa 2005 gharama za ushuru na bandari zilikuwa 3.9ml,halina dumping fee lakini lina CIF ya juu..hili la mito lina dumping fee lakini katika hesabu za Tra litaonyesha CIF ya chini hivyo gharama zote atawezalipa 3.7ml(dumping fee yake haiwezifika 1ml)
 
Asante sana lucky sabasaba
 
FoB yake ni kiasi gani? Kuna nyingine hii hapa bei poa kabisa ya mwaka huo huoSuzuki Swift UA-HT51S(2004) / SE-Z#
Tatizo hilo la mito hatujui ni rangi gani..katika ununuzi wa magari rangi na mwaka wa kutengenezwa vinapanga sana bei..hili lililoonyeshwa hapa ni jeupe lakini hilohilo lingekuwa silver au maroon bei yake ingepaa sana plus inspection,local charges na shipping litakuja bei hiyo hiyo ya mito...siku zote in vehicle biz rangi nyeupe ni cheap,na ata linapogongwa kulipiga rangi hiyo ni cheaper si kama nyingine
 
Tatizo hilo la mito hatujui ni rangi gani..katika ununuzi wa magari rangi na mwaka wa kutengenezwa vinapanga sana bei..hili lililoonyeshwa hapa ni jeupe lakini hilohilo lingekuwa silver au maroon bei yake ingepaa sana plus inspection,local charges na shipping litakuja bei hiyo hiyo ya mito...siku zote in vehicle biz rangi nyeupe ni cheap,na ata linapogongwa kulipiga rangi hiyo ni cheaper si kama nyingine

La kwangu ni silver mkuu, ila nimewaambia jamaa wanitafutie dark blue au nyeusi kama watapata ili niachane na silver
 
Wakuu kuna gari nimeipenda, ila ni ya mwaka 2003, wasiwasi wangu ni je ina kodi ya uchakavu? nimepitia nyuzi za magari pamoja na website ya tra lakini sijaelewa namna tra wanavyohesabu hiyo miaka 10 yao. Naomba mwenye uzoefu anijuze tafadhali

Gharma kamili ni Tsh 2,705,666. ama ni $1.691

Usitishwe na uchakavu bali angalia engine size na spare parts availability hapo bongo. Ukitaka msaada zaidi ni PM nitakupa maelezo zaidi. Nina uzoefu mkubwa sana na haya mambo.

Unaweza kupiga simu TRA customer service utahakikisha ninachokueleza.
 
Gharma kamili ni Tsh 2,705,666. ama ni $1.691

Usitishwe na uchakavu bali angalia engine size na spare parts availability hapo bongo. Ukitaka msaada zaidi ni PM nitakupa maelezo zaidi. Nina uzoefu mkubwa sana na haya mambo.

Unaweza kupiga simu TRA customer service utahakikisha ninachokueleza.

asante sana mkuu!
 
TRA ni ngumu sana na sio lazima wakukubalie CIF uliyowapa wewe bwana mito $2100 kwa cif ni pesa ndogo sana..mungu saidia kama wakiikubali hiyo basi ushuru utakuwa sawa kabisa na calculation za bwana kidatu hapo juu,lakini tatizo ni kwamba TRA pia wana hesabu zao wanajua kuwa gari fulani la mwaka fulani na specifications fulani ni kiasi gani na hapo ndipo wanapopiga hesabu zao..wewe bwana mito wawezakuwa na risiti original kuonyesha bei yako ila wao wakaipinga..magari mengi tunayouziwa afrika kutoka japan uwa tunauziwa directly kutoka minadani na machache toka showrooms,ndio maana unaona bei ni ndogo ila hesabu za tra ni magari yanayotoka showroom ndio maana hesabu zao zinakuwa juu kidogo..ingekuwa rahisi hivyo ata mimi mwenye mtaji mdogo ningewezafungua showroom,andaa 3+++ml ili kulitoa hilo gari
 
Wakuu CIF siku hizi wanapanga TRA wenyewe na kuna bei wameshaziweka kabisa ya gari ikiwa mpya then wana calculate depreciation kutokana na miaka ya gari yako so CIF value unayowapa haina kazi wao ndo wanakupa CIF mimi nilinunua VW CIF ilikuwa 2300 lakini wao wakaniambia ni 3500
 
Wakuu CIF siku hizi wanapanga TRA wenyewe na kuna bei wameshaziweka kabisa ya gari ikiwa mpya then wana calculate depreciation kutokana na miaka ya gari yako so CIF value unayowapa haina kazi wao ndo wanakupa CIF mimi nilinunua VW CIF ilikuwa 2300 lakini wao wakaniambia ni 3500
Hii ni kweli kabisa ndio maana nimemwambia bwana mito aandae 3+++ml kwa ajiri ya ushuru,kabda ya mambo ya online purchasing bei za magari zilikuwa zinaeleweka vizuri siku hizi hazieleweki,ndio maana TRA wanabase zaidi na CIF zao..unajua hapa duniani soko kubwa kuliko yote ya used cars za mkono wa kulia lipo dubai linaitwa Al aweer used auto market(waweza ku google ukapata habari zaidi)kipindi watu walipokuwawananunua magari kule bei zilikuwa zinaeleweka,sasa siku hizi na hizi teknolojia watu wa pakistani na wahindi(hawa ndio wameshikilia soko la magari dubai na japan) wanakwenda japani mnadani na kuuza magari online,bei zinakuwa hazieleweki maana pale ni mkusanyiko wa magari mengi mengine yamepata ajari mengine ya deal nk,sasa ni ngumu sana kwa TRA ku base na CIF zinazotoka kwa wateja..wao wanabase na CIF ya showroom na ukizifuatilia CIF za tra zipo sahihi
 
Back
Top Bottom