Msaada kuhusu kombi ya HGK

Saidy Januzaj

Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
69
Reaction score
10
Wajuzi naombeni mnijuze hivi kuna posibility ya kua nani ukisoma hii kombi?

Yani kama vile ukisoma PCB kuna posibility yakua doctor
 
Yeyote yule elimu ya bongo haiangalii mambo hayo siku hizi,hii inaitwa BRN hata mtu wa HGK anaweza akawa doctor mkuu!...
 
kama haujui s unyamaze tu kwani umeambiwa lazima ujibu?? nyi mnaoleta mzaha wenzenu wakiuliza swali ipo cku na nyinyi mtakua na shida..leo mm kesho nyinyi
 
Mm nimesoma hyo,ila chuo nikafanya env engineer geography ya advance nilifaulu vzr na math frm 4 nilipiga fresh ndo hvyo vilinipa kigezo cha kufanya env engineer ,so now environmentalist in engineering way.
 
Unaweza ukasoma hata masomo ya biashara kama , it,sheria, elimu. Siasa na uongozi, mahusiano ya kimataifa,nk.
 
Administration works
Law
Journalism
Education
Human Resource
International relations
 
mdogo wangu kama unauwezo kasome HKL ili badae uwe na uwanja mpana wakufanya utakacho na uwe na kigezo kwanini nasema HKL course nyingi zinazingatia ujuzi wa lugha so nakushauli nenda HKL.
 
HGK unasoma course zote za Social science, Humanities na education(Art)
 
Mm nimesoma hyo,ila chuo nikafanya env engineer geography ya advance nilifaulu vzr na math frm 4 nilipiga fresh ndo hvyo vilinipa kigezo cha kufanya env engineer ,so now environmentalist in engineering way.

acha kudanganya ww sio engineer unaujua vizuri environmntal engineering wew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…