Msaada kuhusu kozi ya kusoma

Msaada kuhusu kozi ya kusoma

Acehood

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,653
Reaction score
2,792
Wakuu mdogo wangu kapata division 1 ya 9 (PCB). Kozi zipi anaweza eligible kuomba?
 
Daah demu wangu nae alikuwa PCB kazungurusha


Ila mtihani si walifanya mmoja wakuu ? It doesn't make sense..how ?
Naona dem wako unamtaja sana kwenye nyuzi kwamba kachora chini😂😂 polee mkuu kama wana uwezo wa kumsomesha akasome diploma ya radiology ni kozi nzur sana
 
Naona dem wako unamtaja sana kwenye nyuzi kwamba kachora chini[emoji23][emoji23] polee mkuu kama wana uwezo wa kumsomesha akasome diploma ya radiology ni kozi nzur sana
Mi Mwenyewe unga unga mwana namsomesha vipi

Hio kazi ya baba ake
 
Back
Top Bottom