Msaada kuhusu kuanzisha biashara ya matunda na mboga mboga!

Msaada kuhusu kuanzisha biashara ya matunda na mboga mboga!

mi naexport matunda, kwa ndege 5usd/kg na packaging za mabox kiwanda kipo nyerere road, huwa natoa oda ya carton za box mill 7 hadi 20 ili gharama iwe chini. so wana MOQ yao kiwandani pamoja na branding.All in all hakikisha hao watu isiwe mali kauli, washaniliza mwanzoni. so hakikisha wanatumia LC, irrevocable ya bank inayoaminika ama wanatanguliza down payment 30% na ukishamaliza packaging zako ,na freight forwader anakufanyia documentation, huwa nawatumia kuehne And Nagel wapo nyerere Road. ukiiscan na kuwatumia wanamalizia payment. Karibu godown yangu ipo nelson mandela Road, Tabata ndo nafanyia packaging.
Mkuu nimekucheki inbox,mbona kimya tuwasiliane!
 
Kama asali ya Tabora hawataki kuisikia hao wazungu wanadai nyuki wanatilia pollen ya maua ya tumbaku na eti ina nicotine sasa jiulize hayo matunda na mbogamboga jirani na mgodi wa dhahabu wa wachina.
Nitafute mkuu naweza kukushauri kitu!
 
mi naexport matunda, kwa ndege 5usd/kg na packaging za mabox kiwanda kipo nyerere road, huwa natoa oda ya carton za box mill 7 hadi 20 ili gharama iwe chini. so wana MOQ yao kiwandani pamoja na branding.All in all hakikisha hao watu isiwe mali kauli, washaniliza mwanzoni. so hakikisha wanatumia LC, irrevocable ya bank inayoaminika ama wanatanguliza down payment 30% na ukishamaliza packaging zako ,na freight forwader anakufanyia documentation, huwa nawatumia kuehne And Nagel wapo nyerere Road. ukiiscan na kuwatumia wanamalizia payment. Karibu godown yangu ipo nelson mandela Road, Tabata ndo nafanyia packaging.
Brother mbona kimya hunitafuti Tufanye biashara!.??
 
Mkuu mtoa mada, achana na porojo za wadau na kukukatisha tamaa, wakati hawawezi hata kupeleka biashara mkoa mwingine kwa Woga! nivumilie Tu kidogo ntakuja kukupa Details za kutosha.

Binafsi niko katika mchakato wa kupeleka Mbogamboga, Matunda na Chakula Oman.

Nikirudi nikute umeshasema unategemea kupeleka mzigo wako nchi gani.

Mkuu umepotea wadau tunakusubiri huku
 
mi naexport matunda, kwa ndege 5usd/kg na packaging za mabox kiwanda kipo nyerere road, huwa natoa oda ya carton za box mill 7 hadi 20 ili gharama iwe chini. so wana MOQ yao kiwandani pamoja na branding.All in all hakikisha hao watu isiwe mali kauli, washaniliza mwanzoni. so hakikisha wanatumia LC, irrevocable ya bank inayoaminika ama wanatanguliza down payment 30% na ukishamaliza packaging zako ,na freight forwader anakufanyia documentation, huwa nawatumia kuehne And Nagel wapo nyerere Road. ukiiscan na kuwatumia wanamalizia payment. Karibu godown yangu ipo nelson mandela Road, Tabata ndo nafanyia packaging.
Naweza kujua unaexport NINI mkuuu,na he naweza kuunga nguvu?
 
Nchi za nje zipi? Burundi au Kenya, Au Ulaya au Asia ai America?
Maswali.
Unalima kwa kiwango gani?
- Biashara yako ilo regsted?
- Unalima kilimo cha aina gani?

Kama hizo nchi za nje ni za Ulaya na Asia basi jua kwamba wanapendelea Organic, kama unalima kwa hizi chemical zetu na mbolea hizi usitarajie kuuza huko.

MWISHO
Je umejiandaa kushindana na wazalishaji wengine kutoka Dunia nzima? Kutaoka Latini America, Asia nchi mama Philipine, Nchi za Ulaya, Nchi kama Israeli, Nchi za Africa kama South Africa.

Mkuu ku export hasa vyakula sio swala dogo hata kidogo na mpaka mamulaka husika zikuruhusu basi ujue umefanya kaz sana, Pia bora kuuza soko la ndani kutafuta uzoefu, soko la nje ni very complicated.
Mkuu organic ndiyo aina gani hiyo? naomba msaada
 
Kama asali ya Tabora hawataki kuisikia hao wazungu wanadai nyuki wanatilia pollen ya maua ya tumbaku na eti ina nicotine sasa jiulize hayo matunda na mbogamboga jirani na mgodi wa dhahabu wa wachina.
Hahaha hawa jamaa wanatuzima kwa akili
 
Hi wanajamvi,

Nimekuja kwenu mimi ni kijana mtanashati sana katika maisha yatupasa kujifunza na kujua mengi kila inapoitwa Leo.

Nipo katika mchakato wa kutaka kufanya biashara ya matunda coz ni biashara inayonivutia sana kitu kinachonipa maswali mengi mpaka kuja kwenu hapa nini faida ya wafanyabiashara ya matunda ya reja reja?

Naombeni msaada wenu kuhusu hili tafadhali.

Nawasilisha
 
Back
Top Bottom