Wakuu habari nipo kwenye harakati za kubadilisha jina wa Sababu binafsi.
Nilienda kwa advocate akasema anaandaa deed pool kwa 50k then after nipeleke wizarani nitalipia 32500/=
Sasa Kuna mtu amenishauri niende mahakamani niwe nimejaza Ile deed pool gharama haitazidi 15k
Naombeni ushauri wenu ni kweli nikienda mahakamani gharama zitapungua tofauti na kwa advocate?
"Ignorance of the law is not a defence"