Habari wana jamii forum, ni matumaini yangu mambo yanenda sawia.
" Kwa taratibu ambazo zilikuwepo awali ni kwamba mtumishi wa serikali akijiendeleza kimasomo katika taaluma anayoifanyia kazi anaporudi kwa muajiri wake humpandisha ngazi ya utumishi ambapo mtumishi anahitajika kuonesha vyeti vyake alivyovipata baada ya kuhitimu hiyo taaluma yake SWALI LANGU NI KUWA kwa upande wa walimu mtu ukishajiendeleza mfano kwa level ya digrii utahitajika kuonesha Transcrits ili wakupandishe kuwa level uliyosomea, SASA WAKUBWA mimi ni mwalimu niliyejiendeleza kozi ya digree in education, niliporudi Kwa mkurugenzi wangu WILAYA YA KILOMBERO kwa ajili ya kuapgrade mshahara wangu ili nilipoti kituoni kwangu wananiambia kuwa Hawapokei Transcript ya matokeo peke yake bali wanataka na cheti cha chuo Je? utaratibu huu ni kwa wilaya zote nchini au umakumashi ambao upo katika wilaya hii? Isitoshe walimu wapya wanaajiriwa na Transcripts hizohizo kwani vyeti vinatolewa navyuo baada ya mwaka mmoja kumaliza, mfano mimi nimesoma Udsm. Hivi kweli inaingia akilini mimi nikae Mwaka mzima nisubirie Cheti hali ya kuwa wale niliomalizanao chuo wameajiriwaq kwa Transcripts zao na mimi mwajiriwa wa serikali hiyo hiyo nisubiri baada ya mwaka mmoja nitakapo pata cheti ndo wanilekebishie mshahara wangu. WADAU NAOMBENI MAJIBU KWELI UTARATIBU NDO UKO HIVI NCHI NZIMA?
" Kwa taratibu ambazo zilikuwepo awali ni kwamba mtumishi wa serikali akijiendeleza kimasomo katika taaluma anayoifanyia kazi anaporudi kwa muajiri wake humpandisha ngazi ya utumishi ambapo mtumishi anahitajika kuonesha vyeti vyake alivyovipata baada ya kuhitimu hiyo taaluma yake SWALI LANGU NI KUWA kwa upande wa walimu mtu ukishajiendeleza mfano kwa level ya digrii utahitajika kuonesha Transcrits ili wakupandishe kuwa level uliyosomea, SASA WAKUBWA mimi ni mwalimu niliyejiendeleza kozi ya digree in education, niliporudi Kwa mkurugenzi wangu WILAYA YA KILOMBERO kwa ajili ya kuapgrade mshahara wangu ili nilipoti kituoni kwangu wananiambia kuwa Hawapokei Transcript ya matokeo peke yake bali wanataka na cheti cha chuo Je? utaratibu huu ni kwa wilaya zote nchini au umakumashi ambao upo katika wilaya hii? Isitoshe walimu wapya wanaajiriwa na Transcripts hizohizo kwani vyeti vinatolewa navyuo baada ya mwaka mmoja kumaliza, mfano mimi nimesoma Udsm. Hivi kweli inaingia akilini mimi nikae Mwaka mzima nisubirie Cheti hali ya kuwa wale niliomalizanao chuo wameajiriwaq kwa Transcripts zao na mimi mwajiriwa wa serikali hiyo hiyo nisubiri baada ya mwaka mmoja nitakapo pata cheti ndo wanilekebishie mshahara wangu. WADAU NAOMBENI MAJIBU KWELI UTARATIBU NDO UKO HIVI NCHI NZIMA?