Msaada kuhusu kujaza fomu za Bahati Nasibu ya kwenda kuishi Marekani

Msaada kuhusu kujaza fomu za Bahati Nasibu ya kwenda kuishi Marekani

GIRITA

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
4,432
Reaction score
5,864
Habari wakuu.

Kuna mtu kanipa maelekezo kwamba kuna ofisi inasaidia watu kujaza form na kupigwa picha kwa akijili ya Bahati nasibu ya kwenda kuishi Marekani yaani Green card au Dv lottery inayochezeshwa kila mwaka.

Sasa ninaomba kufahamu vigezo na masharti pamoja na nyaraka zinazotakiwa ili ujaziwe hizo form na kupigwa picha, maana jamaa anadai kwamba hao watu unawalipa elfu 30 kwa familia na elfu 20 kwa mtu mmoja akadai hakuna nyaraka zozote zinazohitajika wala vigezo vya elimu.

Naomba aliyewahi kujaziwa hizo form na kupigwa picha anisaidie maelezo sahihi ili nifahamu.
Hiyo ofisi anasema ipo Mlimani city Dar es salaam.

Nitashukuru kwa ufafanuzi wakuu🙏🙏🙏
 
 
Mkuu GIRITA , unamiliki Smart phone yenye uwezo wa kupiga picha vizuri .

Kinacho hitajika ni background nyeupe so kinaweza kuwa kitambaa cheupe ,au ukuta mweupe, au white board,


Ilimradi picha iwe clear.

Unacho upload ni picha TU, hakuna kingine.

Maelezo mengine ni straight forward, hayaitaji kufundishwa ili kujaza. Na Wala hakuna maelezo ya kujieleza.

Sasa unataka MTU aje akujazie Eti una Watoto wangapi, unaishi wapi, elimu Yako ni ipi?.


Sasa ndugu yangu, zoezi kama hili huliwezi ,USA unafikiri ni nzega ,

Usa hawataki watu wa hovyo.
 
Sasa kitu kinaitwa bahati nasibu,bado u akifanya maandalizi,je ukijaza vizuri halafu usipate
Au hujui maana ya bahatu nasibu.

Kaa nchini mwako,tengeneza maisha acha kutapatapa.
Nataka nijue kwanza haya mambo ili niwape taarifa kamili watu wengine wanaotaka kubahatika.
Sasa kitu kinaitwa bahati nasibu,bado u akifanya maandalizi,je ukijaza vizuri halafu usipate
Au hujui maana ya bahatu nasibu.

Kaa nchini mwako,tengeneza maisha acha kutapatapa.
 
Soma hiyo niliyokutumia kama kuna swali uliza.
Mkuu nimesoma, nataka kufahamu vigezo vya kufanya maombi.
1. passport inahitajika unapoomba?
Maana huyo EBM kaweka video kwenye youtube yake usipoteze muda kujaza form kama huna passport hata ukibahatika huwezi kupewa visa....sasa wanasema passport sio lazima ukibahatika ndio unatafuta passport imekaaje hii?
 
Kuna watu wa hovyo zaidi yangu wapo huko USA nawafahamu....sio kwamba kujaza form nashindwa ila nataka kujua vigezo kama vimebadilika kwa sasa.....hapa waliweka link miaka ya nyumba kidogo hakuna nisichoweza kujaza ila kuna watu wengi wanaenda huko ofisini kujaziwa hizo form wanasema hakuna haja ya kuwa na passport wala kiwango gani cha elimu ukifika unapigwa picha ujaziwa picha zako unaondoka unaacha email yako pale au whatsapp number kama utabahatika unatumiwa ujumbe.....maelezo ni mepesi.
Nilitaka nijue documents na vigezo na masharti.
Mkuu GIRITA , unamiliki Smart phone yenye uwezo wa kupiga picha vizuri .

Kinacho hitajika ni background nyeupe so kinaweza kuwa kitambaa cheupe ,au ukuta mweupe, au white board,


Ilimradi picha iwe clear.

Unacho upload ni picha TU, hakuna kingine.

Maelezo mengine ni straight forward, hayaitaji kufundishwa ili kujaza. Na Wala hakuna maelezo ya kujieleza.

Sasa unataka MTU aje akujazie Eti una Watoto wangapi, unaishi wapi, elimu Yako ni ipi?.


Sasa ndugu yangu, zoezi kama hili huliwezi ,USA unafikiri ni nzega ,

Usa hawataki watu wa hovyo.
 
fanya mambo mengine. tatizo wanaowaambia kuhusu DV hawawasomei conditions. Sio rahisi kama unavyoambiwa na bado ukipata sio burebure kwamba wapelekwa kama kifurushi.
 
fanya mambo mengine. tatizo wanaowaambia kuhusu DV hawawasomei conditions. Sio rahisi kama unavyoambiwa na bado ukipata sio burebure kwamba wapelekwa kama kifurushi.
Ndio nilitaka kujua vigezo na masharti ya hii Dv lottery maana wengi huku mtaani wanaamini ni kitu simpo sana.....isije kuwa mtu kaona fursa ya kupiga pesa za wabongo.
 
Kuna watu wa hovyo zaidi yangu wapo huko USA nawafahamu....sio kwamba kujaza form nashindwa ila nataka kujua vigezo kama vimebadilika kwa sasa.....hapa waliweka link miaka ya nyumba kidogo hakuna nisichoweza kujaza ila kuna watu wengi wanaenda huko ofisini kujaziwa hizo form wanasema hakuna haja ya kuwa na passport wala kiwango gani cha elimu ukifika unapigwa picha ujaziwa picha zako unaondoka unaacha email yako pale au whatsapp number kama utabahatika unatumiwa ujumbe.....maelezo ni mepesi.
Nilitaka nijue documents na vigezo na masharti.
Duu 🤔.

Mkuu tembelea USA embassy account ya x wameweka Link ya kujaza form,
Laiti ungeipata hiyo form usingekuwa na doubt.

Tumia authorized source kufanya hii application.
 
Mkuu GIRITA , unamiliki Smart phone yenye uwezo wa kupiga picha vizuri .

Kinacho hitajika ni background nyeupe so kinaweza kuwa kitambaa cheupe ,au ukuta mweupe, au white board,


Ilimradi picha iwe clear.

Unacho upload ni picha TU, hakuna kingine.

Maelezo mengine ni straight forward, hayaitaji kufundishwa ili kujaza. Na Wala hakuna maelezo ya kujieleza.

Sasa unataka MTU aje akujazie Eti una Watoto wangapi, unaishi wapi, elimu Yako ni ipi?.


Sasa ndugu yangu, zoezi kama hili huliwezi ,USA unafikiri ni nzega ,

Usa hawataki watu wa hovyo.
Majibu haya hapa yote mkuu, labda kuhusu elimu najua ni kuanzia fom6 na kuendelea au kma ni diploma basi iwe ile ya kueleweka ambayo umesoma sio chini ya miaka miwili na pia ujuzi wa hiyo fani yako pia nadhani isiwe chini ya miaka miwili.

Passport lazima kuna sehemu ya kujaza namba yako ya passport. Kama una mke na watoto kwao kwa sasa sio lazima akati unaomba. Ila ukibahatika kuendlea na uombaji wa visa huko mbele ndio itabidi uwatafutie na wao wawe nazo.

Zingatia kuhusu picha kama alivosema mdau hapo. Naww ujiandae mfukoni chochote kiwepo mana kule sio unapewa tu. Unaanza moja labda kama una mwenyeji huko wa kukupa ramani za nini cha kufanya.

Washauri wadau waombe hii fursa ni bure kuomba. Ila safari, garama za visa na wapi utakula na utaishi wapi ni juu yako. Mwnyji wako unaeza muomba huyo huyo ebm akusaidie ramani ikoje kule ingawa 'boksi' lazima upige tu kuanzia maisha kmaa utabatika ukifka kule. Hizi boksi ni kazi ambazo sio za kuhitaji sana elimu ukiwa huko maandishi matatu ukibahatika kupata hyo dv visa.

Kma bado jitahidi ufanye maombi kabla ya nov 5 nadhani ndio mwsho wa kuomba na majibu ni mbaka may 2025.
Kazi kwako mkuu
 
Majibu haya hapa yote mkuu, labda kuhusu elimu najua ni kuanzia fom6 na kuendelea au kma ni diploma basi iwe ile ya kueleweka ambayo umesoma sio chini ya miaka miwili na pia ujuzi wa hiyo fani yako pia nadhani isiwe chini ya miaka miwili.

Passport lazima kuna sehemu ya kujaza namba yako ya passport. Kama una mke na watoto kwao kwa sasa sio lazima akati unaomba. Ila ukibahatika kuendlea na uombaji wa visa huko mbele ndio itabidi uwatafutie na wao wawe nazo.

Zingatia kuhusu picha kama alivosema mdau hapo. Naww ujiandae mfukoni chochote kiwepo mana kule sio unapewa tu. Unaanza moja labda kama una mwenyeji huko wa kukupa ramani za nini cha kufanya.

Washauri wadau waombe hii fursa ni bure kuomba. Ila safari, garama za visa na wapi utakula na utaishi wapi ni juu yako. Mwnyji wako unaeza muomba huyo huyo ebm akusaidie ramani ikoje kule ingawa 'boksi' lazima upige tu kuanzia maisha kmaa utabatika ukifka kule. Hizi boksi ni kazi ambazo sio za kuhitaji sana elimu ukiwa huko maandishi matatu ukibahatika kupata hyo dv visa.

Kma bado jitahidi ufanye maombi kabla ya nov 5 nadhani ndio mwsho wa kuomba na majibu ni mbaka may 2025.
Kazi kwako mkuu
Okay 👍, ila form ya mwaka huu , haina option ya kujaza passport number.

Na ndio maana nime mpa muongozo mleta Uzi , aka check form kwenye account ya x ya ubalozi
 
Okay 👍, ila form ya mwaka huu , haina option ya kujaza passport number.

Na ndio maana nime mpa muongozo mleta Uzi , aka check form kwenye account ya x ya ubalozi
Ebhana sikuona hiyo, nilijaza moja hata sikufatilia. Nimereview sahivi ndio naona option hyo haipo kweli mwaka huu. Unajua app yoyote ya kuedit picha mkuu unitajie? Blender
 
Back
Top Bottom