Msaada kuhusu kuku

Asante mkuu[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
usiogope mkuu nunua dawa inaitwa Iodine ipo kwenye kichupa kidogo.
Tafuta wembe utumie kukwangua hapo then unapaka kuku wako,
Huo ugonjwa unaambukiza hivyo kama kuku wapo wengi wote watapata chukua tahadhari mapema
√inahitaji roho ngumu kiasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
usiogope mkuu nunua dawa inaitwa Iodine ipo kwenye kichupa kidogo.
Tafuta wembe utumie kukwangua hapo then unapaka kuku wako,
Huo ugonjwa unaambukiza hivyo kama kuku wapo wengi wote watapata chukua tahadhari mapema
√inahitaji roho ngumu kiasi
Inapatikana kweny maduka ya kawaida au n maduka ya chanjo za kuku pekee??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…