external hapo au urafiki ...you chooseahsante kwa maeneo ya ubungo kiko wapi?
Unapaswa uombe upya mana mda umeshapita sanaHabari,
Naomba msaada kwa wanaoelewa kuhusu mambo haya. Nimekuwa nikiishi nje ya nchi kwa muda sasa nimerud na lesen yangu ya udereva nimekuta tarehe ya ku-expire imeshapita yaani ni takribani miaka 3 tangu imexpire! imeexpire mwez 4/ 2019.
Nimeskia skia maneno kuwa kwamba ikipitisha mika miwili baada ya kuexpire inakupasa uombe leseni upya na sio kurenew.
MSAADA KWA WAJUZI WA MAMBO
Sio kweli ilikua zamani sasa hivi inasomaNi kweli ikizidi miaka miwili. System ya Tra inakukataa ku renew
Kiongozi nenda TRA kwanza,wataangalia na watakushauri la kufanya.Habari,
Naomba msaada kwa wanaoelewa kuhusu mambo haya. Nimekuwa nikiishi nje ya nchi kwa muda sasa nimerud na lesen yangu ya udereva nimekuta tarehe ya ku-expire imeshapita yaani ni takribani miaka 3 tangu imexpire! imeexpire mwez 4/ 2019.
Nimeskia skia maneno kuwa kwamba ikipitisha mika miwili baada ya kuexpire inakupasa uombe leseni upya na sio kurenew.
MSAADA KWA WAJUZI WA MAMBO
Babo ipo yangu nme renew juzi tu ili expire 2019 OctoberAnza upya mchakato wa kuomba leseni kwani hiyo tiyari Imeondolewa kwenye mfumo
Babo ipo yangu nme renew juzi tu ili expire 2019 October
70,000/= nikamtoa ten yule sister alienihudumiaWalikutoza kiasi Gani?
[emoji1][emoji1][emoji125][emoji125][emoji125]Lete Laki mbili chap hapo.
Nitumie details zako zote.
Niambie na madaraja unayotaka.
Safi sana70,000/= nikamtoa ten yule sister alienihudumia