Msaada kuhusu M-pawa

Msaada kuhusu M-pawa

DANIEL MWITA

Senior Member
Joined
Sep 16, 2012
Posts
117
Reaction score
41
Anayefahamu kuhusu asilimia ya riba ukiweka pesa m-pawa na hiyo riba inatolewa baada ya muda gani?anipm au anitxt kwny 0715-140001
 
nilianza kwa kuweka laki baada ya miezi miwili hakuna kilichoongezeka sielewi hiyo riba inatolewaje.
 
Me nimeweka akiba zaidi ya mwez sasa na hakuna hata senti iliyoongezeka.
 
Back
Top Bottom