Fundifundisho
Member
- Jan 11, 2011
- 77
- 18
Nina rafiki yangu anasumbuliwa na mafua huwa yanapona lakini haizidi wiki mbili yanaanza tena,
amepima mpaka HIV yuko salama..Ila ndo hivyo mafua yanamtesa..
Mwenye uelewa atujuze..
amepima mpaka HIV yuko salama..Ila ndo hivyo mafua yanamtesa..
Mwenye uelewa atujuze..
