Msaada kuhusu makampuni makubwa ya kimataifa ya biashara

miss mike

Senior Member
Joined
Aug 25, 2015
Posts
176
Reaction score
248
Habari zenu wadau wa hii forum.
napenda kuuliza,katika tafuta yangu mitandaoni kuhusu data za hizi kampuni 4 (CARGILLS,BUNGE,LOUIS DREYFUS na ARCHER DANIELS MIDLAND)
Je wamefanya investment katika nchi yetu ?
Nachofahamu mpaka sasa ni wamejikita sana kwenye ununuaji wa mazao ya biashara na nawezaje kupata data zao sababu ni makampuni makubwa yanayojihusisha na kilimo
Msaada wakuu.
Nawashukuru sana
 
Ngoja wajuzi wake miss
Ila vipi kuhusu kutafuta website zao hawajaweka taarifa?
 
Kama wangekuwa Sawa nazani Data zao zingekuwa availavle sana. Ni za nchi zipi? labda uwatafute base na nchi zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…