miss mike
Senior Member
- Aug 25, 2015
- 176
- 248
Habari zenu wadau wa hii forum.
napenda kuuliza,katika tafuta yangu mitandaoni kuhusu data za hizi kampuni 4 (CARGILLS,BUNGE,LOUIS DREYFUS na ARCHER DANIELS MIDLAND)
Je wamefanya investment katika nchi yetu ?
Nachofahamu mpaka sasa ni wamejikita sana kwenye ununuaji wa mazao ya biashara na nawezaje kupata data zao sababu ni makampuni makubwa yanayojihusisha na kilimo
Msaada wakuu.
Nawashukuru sana
napenda kuuliza,katika tafuta yangu mitandaoni kuhusu data za hizi kampuni 4 (CARGILLS,BUNGE,LOUIS DREYFUS na ARCHER DANIELS MIDLAND)
Je wamefanya investment katika nchi yetu ?
Nachofahamu mpaka sasa ni wamejikita sana kwenye ununuaji wa mazao ya biashara na nawezaje kupata data zao sababu ni makampuni makubwa yanayojihusisha na kilimo
Msaada wakuu.
Nawashukuru sana