Msaada kuhusu makato ya Serikali

Msaada kuhusu makato ya Serikali

RUSTEM PASHA

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2016
Posts
4,707
Reaction score
11,365
Wakuu kuna bwana mdogo kapata kibarua sehemu lakini bahati mbaya au nzuri msahara wake wameuweka katika mwaka, kwahio kashindwa kujua makato yake yatakua vipi. Kaja kwangu nimsaidie, lakini pia nimeshindwa kung'amua kama hizo allowance nazo zitakatwa Kodi au la.

Annually Gross salary wamemuwekwa 27,100,000 TZSH.

Annually Basic salary wamemuwekea 16,300,000Tzsh.

House allowance annually wameweka 8,100,000Tzsh.

Kisha wameweka Transport allowance annually 2,700,00 Tzsh.

Je, kwa mwezi atachukua Net pay ya kiasi gani. Anaanza kazi mwezi ujao tare 1, anadaiwa Heslb pia
 
27,000,000÷12= 2,258,333.333 per month Gross salary.

16,300,000÷12= 1,358,333.333 per month basic Salary.

8,100,000÷12= 675,000 per month house allowance.

2,700,000÷12= 225,000 per month transport allowance.

Zipi zakatwa Kodi?.
 
Wakuu kuna bwana mdogo kapata kibarua sehemu lakini bahati mbaya au nzuri msahara wake wameuweka katika mwaka, kwahio kashindwa kujua makato yake yatakua vipi. Kaja kwangu nimsaidie, lakini pia slnimeshindwa kung'amua kama hizo allowance nazo zitakatwa Kodi au la.

Annually Gross salary wamemuwekwa 27,100,000 TZSH.

Annually Basic salary wamemuwekea 16,300,000Tzsh.

House allowance annually wameweka 8,100,000Tzsh.

Kisha wameweka Transport allowance annually 2,700,00 Tzsh.

Je Kwa mwezi atachukua Net pay ya kiasi gani. Anaanza kazi mwezi ujao tare 1, anadaiwa Heslb pia
Ungesema ni taasisi gani hiyo?
 
Back
Top Bottom