Msaada kuhusu manunuzi ya online hasa alibaba

pilato93

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
6,296
Reaction score
6,692
Husika na kichwa hapo juu
Habari wakuu, kuna jambo linanitatiza sana kuhusu huu mtandao maana kuna simu nilikuwa nataka niliingia ebay kule nilipata japo bei ilichangamka sema wengi hawatumi Tanzania sasa niliingia alibaba wengi wanatuma sema rahisi sana hadi wanaogopesha sana aliyeshafanya biashara na huo mtandao anipe uzoefu na uimara na mapungufu yao
 
Tanzania sasa niliingia alibaba wengi wanatuma sema rahisi sana hadi wanaogopesha
Bei uionayo sio utakayo lipia.

Sababu
- Hawajaweka gharama ya kusafirishia
- Huwalenga wanunuzi wa jumla jumla ( japo waweza uziwa moja, njia ya usafirishaji ni express na gharama huwa juu, ukijumlisha manunuzi + kusafirisha, basi bei itazidi ile ya ebay au aliexpress.)
- Bei halisi (ununuzi wa bidhaa na kusafirisha ) utapewa baada ya kufanya mawasiliano na muuzaji.

Karibu www.bit.ly/101buy4me
nilipata japo bei ilichangamka sema wengi hawatumi Tanzania
Iwapo item iko ebay (au site nyingine yeyote ile) na haitumwi Tanzaniabasi waweza wasiliana nami kufanikisha hayo manunuzi
 
Poa nitakutafuta unisaidie
 
jaman kuna seem nmeitwa kwenye mahojiano utumishi tuko watu 200 ila wanaitaji 65, wa kwanza ana kama alama 51 mimi nina 38 wazee na uko utumishi tunaenda kutafta alama 40, na kwenye usaili wa vitendo tulikua tunatafta 60 je ntaweza kupita kweli na je utumishi wana hoji kwa kiswahili au kiingereza sijui chochote
 
je ntaweza kupita kweli
Jiandae kisaikolojia kuwa tayari umepita na wewe ni mmoja kati ya washindi, amini hivyo kuanzia sasa na itakuwa hivyo. Ondoa mawazo hasi kabisa kuanzia sasa.
hoji kwa kiswahili au kiingereza sijui chochote
Uwe flexible kutumia lugha yeyote itakayotumika. Jiamini na hakika utaona matokeo chanya.

Kia lakheri
 
mzee na izo alama haztaniukumu
 
mzee na izo alama haztaniukumu
Alama si kitu,
- Mtu aweza kuwa na alama nyingi, lakini kwenye kujieleza ikawa ni 0.00% , ukifanya vyema kwenye interview ni tiketi tosha ya wewe kuchaguliwa, kumbuka hizo alama zipo ili tu kukamilisha utaratibu ambao upo.
- Interview ndio inayotoa hatma yako.
 
Hiyo ni bei kwa wateja wa jumla kwanzia pisi 500
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…