Msaada kuhusu mazoezi na mbinu za kujenga mwili kwa wanaume

Squart ndio zoez gani hill?
atwok naomba nikosolewe kama nitakosea ni hivi,unachuchuma kama vile unakunya wakati huo mikono yako umeshikilia kichwa sasa unainuka,halafu unachuchuma hiki kitendo cha unachuchuma halafu unainuka ndio hiyo skwati,wakati unafanya zoezi hili unahesabu kwa mapigo yaani moja,mbili,tatu na kuendelea nyingine ni kuwa unachuchuma lakini miguu unaibana unainuka halafu unakaa.
 
Google andka squart utaona picha znajieleza,,,,, usipoelewa njoo tena huku
mr umesema kuna jamaa anapiga push up 100 naomba mwongozo na mimi nieleweshe je anapiga mfululizo bila pumziko au anapiga kumi kumi!asante
 
[emoji47] hii ni msosi au dawa!?? Yani nyie huwa hata siwaelewagi kwa kweli, mnauza dawa au chakula, kila kitu ni trevo, kwanza hii jina maana yake nini!??
Hahahha mkuu wana gharama haoo
 
Aiseee si mchezo, nimepiga Leo hiyo skwati miguu siyo yangu hapa.
 
black hiyo ukizoea haitauma usisahau MAZOEZI NI UTUMWA WA KUJITAKIA mimi nipo mbalikidogo kufikia mwezi wa tisa nitakuwa napiga push up 40
Yap ntajitaidi kufikia mwezi ujao nizoee, we unapiga hivi hivi au una add weight?
 
Yap ntajitaidi kufikia mwezi ujao nizoee, we unapiga hivi hivi au una add weight?
mkuu mimi ni mchezaji wa daraja la chini yaani wa ndondo kwenye uzito sina tatizo pia usichague zoezi pia nakuomba ununue kamba ya kuruka,nunua ile yenye speed meter
 
duuh wautafta na uref??,, hpo ngja nfuatilie huu uzi... urefu wakuu
 
Muelekeze vizuri hilo zoezi namna linavyofanywa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…