X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Wakuu, naomba kuuliza hivi nikichukua nyanya kisha nikatoa mbegu zake nikazipanda zitaweza kunipa mazao maana huku nilipo uwezekano wa kupata mbegu ni mdogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
f1 inapatikana kwa shilingi ngapi?Kwann watu hugarimika kuchukua mbegu maalum? Km hilo linawezekana? Unalosema nimewahi kujaribisha lakin mazao ni duni sana huku umegaramia kilimo na mengineyo. Nenda na uhakika mkuu chukua f1
ubarikiwe sana mkuu nimekuelewa nitaufanyia kazi ushauri wakoKatika kilimo asilimia 10 ya gharama ni mbegu na asilimia 90 ni huduma ,ukiweka mbegu ya kubahatisha remember 90 percent iko pale pale utakua unaanda hasara so ni bora usifanye bahati nasibu wewe chukua mbegu bora panda na hudumia vyema ,hope umenielewa
mkuu nitahitaji msaada wako mimi ni mgeni wa mambo hayo na ni kama ki bustani hivi cha robo heka je mbegu nzuri ni ipi ? kulikuwa na mazao mengine hapo kama migomba n.kKuhusu f1 ni first filliar generation ziko nyingi sana cha muhimu tazama nini unataka je shamba lako lina magonjwa gani,wadudu gani,unataka uzao and etc ,so kwa kumention chache kuna monteazul(rijk zwaan),kipato(east west),victory(east west),tylka(syngenta),jarrah rz(rijk zwaan)
mkuu nipo Dar-es-salaam huku ni joto sana sijui hapo itakuwajeUko mkoa gani napenda kujua weather ya huko pia
mkuu nitaipataje hiyo mbegu na mimi niifaidi ardhi yangu?![]()
Mmea wa jarrah rz
mkuu nitaipataje hiyo mbegu na mimi niifaidi ardhi yangu?
asante mkuu ubarikiwe sana nitawacheck je kwa Dar es salaam wapo hao?![]()
Namba yao hii hapa +255 789 765 062
Wako Arusha ila wana afisa kilimo wao yuko huko once you bought from them watakusaidia na ushauri wa kitaalam piaasante mkuu ubarikiwe sana...nitawacheck...je kwa dar es salaam wapo hao?
Asante sana mkuu nimefanya mawasaliano nao kwa Dar-es-salaam hawapo ila wapo bagamoyo muda si mrefu nitaenda kuonana nao asante sana ubarikiwe.Wako Arusha ila wana afisa kilimo wao yuko huko once you bought from them watakusaidia na ushauri wa kitaalam pia
Karibu sana ,mimi niko sevia ni mradi wa kilimo feel free kuniconsult any time ndugu yanguasante sana mkuu nimefanya mawasaliano nao kwa dar-es-salaam hawapo ila wapo bagamoyo...muda si mrefu nitaenda kuonana nao...asante sana ubarikiwe...
usihofu ndugu yangu nitakusumbua hadi unichoke si unajua kwenye kilimo mimi bado mgeni kabisaKaribu sana ,mimi niko sevia ni mradi wa kilimo feel free kuniconsult any time ndugu yangu