Msaada kuhusu mbegu za nyanya

Msaada kuhusu mbegu za nyanya

Katika kilimo asilimia 10 ya gharama ni mbegu na asilimia 90 ni huduma ,ukiweka mbegu ya kubahatisha remember 90 percent iko pale pale utakua unaanda hasara so ni bora usifanye bahati nasibu wewe chukua mbegu bora panda na hudumia vyema ,hope umenielewa
ubarikiwe sana mkuu nimekuelewa nitaufanyia kazi ushauri wako
 
Kuhusu f1 ni first filliar generation ziko nyingi sana cha muhimu tazama nini unataka je shamba lako lina magonjwa gani,wadudu gani,unataka uzao and etc ,so kwa kumention chache kuna monteazul(rijk zwaan),kipato(east west),victory(east west),tylka(syngenta),jarrah rz(rijk zwaan)
 
Kuhusu f1 ni first filliar generation ziko nyingi sana cha muhimu tazama nini unataka je shamba lako lina magonjwa gani,wadudu gani,unataka uzao and etc ,so kwa kumention chache kuna monteazul(rijk zwaan),kipato(east west),victory(east west),tylka(syngenta),jarrah rz(rijk zwaan)
mkuu nitahitaji msaada wako mimi ni mgeni wa mambo hayo na ni kama ki bustani hivi cha robo heka je mbegu nzuri ni ipi ? kulikuwa na mazao mengine hapo kama migomba n.k
 
45c34749cc42fcb4241e354e069021c8.jpg
 
Back
Top Bottom