Pierreeppah
JF-Expert Member
- Feb 2, 2014
- 1,563
- 1,982
Kwa huku arusha eden f1 tunatoka nayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni nzuri sana sasa mkuu ina maana kila nitakapo kuwa napanda lazima ninunue mbegu au ata baada ya kununua mara hii nitapata mbegu kupitia mazao nitakayo yapata?Kwa huku arusha eden f1 tunatoka nayo![]()
Nzuri sana kwakweli...Kwa huku arusha eden f1 tunatoka nayo![]()
Mkuu na mimi nitahitaji sana msaada wako siku za usoniKaribu sana ,mimi niko sevia ni mradi wa kilimo feel free kuniconsult any time ndugu yangu
Nzuri sana
Sasa mkuu ivi kama mtu ukigharamia ... Mbegu kila muda itakubidi uwe unanunua mbegu?Kwann watu hugarimika kuchukua mbegu maalum? Km hilo linawezekana? Unalosema nimewahi kujaribisha lakin mazao ni duni sana huku umegaramia kilimo na mengineyo. Nenda na uhakika mkuu chukua f1
nimekuelewa mkuu...uzidi kubarikiwaKama ni F1 yaani Hybrid lazima kila msimu ununue sababu ukiirudia unaenda kwenye F2 sasa kwa waliosoma genetics kidogo wanafahamu ,ukiwa kwenye F2 utapata wachache wenye sifa za parents ila wengine watakua na sifa zilizojificha (zisizotakiwa) kama vile kutovumilia magonjwa ,kutoa mavuno kidogo,kua na nyanya ndogo etc hivyo kama unanunua F1 ya zao lolote jua kwa ubora wa mavuno usirudie mbegu ila kama unacheza bahati nasibu rudia .
Tazama jarrah f1 hiz sifa zake ,ukiirudie mbegu hizo sifa zinaondoka
Uzuri wa kununua f1 ni kuwa pale utakapotunza mmea wako itarudisha fadhila kwa hakika. Mwaka jana mwezi wa 7 nilinunua mbegu pakiti ndogo grm 10 kwa sh 80,000/ nikaja kupanda miche km elfu na mia mbili kwenye eneo Dogo tu la majaribio na miche zilizobaki niligawia watu. Nilioweza nikatunza vizuri hadi September nikaanza kuvuna hadi October nikaweka rekodi, miche 1200 ilitoa tenga 201 wakati huo bei ilicheza kati ya 30000 na 35000 elfu. Tuseme 30000×201= nilipata sh milion 6 kasoro hivi kesh mkononi. Ukitoa gharama km sh laki 6 na nusu... Nyanya we ukiwa mgumu kuitunza na yenyewe inakuwa ngumu kuzaa. Kwa hiyo tunaposema nunua mbegu bora chotara maanke uwe na hakika na unachofanya. Nyanya itakurdishia mara 4 garama zako ilimradi ufuate kanuni zake, mbegu bora, matunzo na usimamizi.ni nzuri sana sasa mkuu ina maana kila nitakapo kuwa napanda lazima ninunue mbegu au ata baada ya kununua mara hii nitapata mbegu kupitia mazao nitakayo yapata?
asante mkuu...unanipa munkari wa kuanza haraka harakati hizi za kilimo chanyanya... kwa eneo linalo karibia robo lakini si robo tuseme hatua 12 kwa 18 panaweza pakachukua miche mingapi kwa kukadiria...mkuuUzuri wa kununua f1 ni kuwa pale utakapotunza mmea wako itarudisha fadhila kwa hakika. Mwaka jana mwezi wa 7 nilinunua mbegu pakiti ndogo grm 10 kwa sh 80,000/ nikaja kupanda miche km elfu na mia mbili kwenye eneo Dogo tu la majaribio na miche zilizobaki niligawia watu. Nilioweza nikatunza vizuri hadi September nikaanza kuvuna hadi October nikaweka rekodi, miche 1200 ilitoa tenga 201 wakati huo bei ilicheza kati ya 30000 na 35000 elfu. Tuseme 30000×201= nilipata sh milion 6 kasoro hivi kesh mkononi. Ukitoa gharama km sh laki 6 na nusu... Nyanya we ukiwa mgumu kuitunza na yenyewe inakuwa ngumu kuzaa. Kwa hiyo tunaposema nunua mbegu bora chotara maanke uwe na hakika na unachofanya. Nyanya itakurdishia mara 4 garama zako ilimradi ufuate kanuni zake, mbegu bora, matunzo na usimamizi.
Nunua tu pakiti moja grm 10 inatosha kwa eneo hiloasante mkuu...unanipa munkari wa kuanza haraka harakati hizi za kilimo chanyanya... kwa eneo linalo karibia robo lakini si robo tuseme hatua 12 kwa 18 panaweza pakachukua miche mingapi kwa kukadiria...mkuu
poa mkuu....je bora mbegu...ama ninunue...tuuu miche...? maana nimefanya mawasiriano na wauzaji wa mbegu wameniambia kuwa ata miche wanauza....Nunua tu pakiti moja grm 10 inatosha kwa eneo hilo
Tatizo sio rahisi ugundue miche za f1 unazohitaji. Mtu anaweza kuambia hii ni eden f1 kumbe ni zile mbegu za buku tatu, unaenda kupanda unakutana na zao duni huku umegaramia kila kitu. Kununua mbegu zako bado suluhisho toshapoa mkuu....je bora mbegu...ama ninunue...tuuu miche...? maana nimefanya mawasiriano na wauzaji wa mbegu wameniambia kuwa ata miche wanauza....
utagunduaje mbegu zenyewe na feki?Tatizo sio rahisi ugundue miche za f1 unazohitaji. Mtu anaweza kuambia hii ni eden f1 kumbe ni zile mbegu za buku tatu, unaenda kupanda unakutana na zao duni huku umegaramia kila kitu. Kununua mbegu zako bado suluhisho tosha
Wakati imeoteshwa na mtu mwingine afu wewe unaambiwa hizi ni f1, sio rahisi ugundue. Dawa pekee nunua mbegu zako panda mwenyewe, tunza mwenyewe na usihe mwenyewe. Bado hujachelewa ukipanda mwezi huu mwezi wa 7 unaanza kuvuna. Na bei mara nyingi huporomoka mwezi wa nane - 10utagunduaje mbegu zenyewe na feki?
Mkuu kwa kuziangalia unaweza kugundua mbegu feki....? Au tofauti ya mbegu feki na mbegu original ni ipi...?Wakati imeoteshwa na mtu mwingine afu wewe unaambiwa hizi ni f1, sio rahisi ugundue. Dawa pekee nunua mbegu zako panda mwenyewe, tunza mwenyewe na usihe mwenyewe. Bado hujachelewa ukipanda mwezi huu mwezi wa 7 unaanza kuvuna. Na bei mara nyingi huporomoka mwezi wa nane - 10
Kuna wataalam wazuri wa kutambua rangi ya majani. Upande wangu naweza kutofautisha eden na ana f1Mkuu kwa kuziangalia unaweza kugundua mbegu feki....? Au tofauti ya mbegu feki na mbegu original ni ipi...?
hivi hii mimea ya nyanya inayokuwa na pre- za "semi" urefu wake zinafika futi ngapi?![]()
Mmea wa jarrah rz
bado sijawa mtaalam mkuu nadhani jibu lako limekosekanahivi hii mimea ya nyanya inayokuwa na pre- za "semi" urefu wake zinafika futi ngapi?
matunzo yake yakoje, unapunguza suckers?
Semi maana yake iko katikati ya nyanya fupi (determinate) na nyanya ndefu (indeterminate) so hizi semi hazizidi urefu wa mita 2 na hatutolei matawi (suckers)hivi hii mimea ya nyanya inayokuwa na pre- za "semi" urefu wake zinafika futi ngapi?
matunzo yake yakoje, unapunguza suckers?
Big up mzee wa sevia. Nipo rukwa but sevia kilimanjaro ndo mlinifungua macho kuhusu kilimoKaribu sana ,mimi niko sevia ni mradi wa kilimo feel free kuniconsult any time ndugu yangu
Karibu sana ndugu yangu ndio wajibu wetu kuawaelimisha wakulima na watanzania kukifahamu vyema kilimoBig up mzee wa sevia. Nipo rukwa but sevia kilimanjaro ndo mlinifungua macho kuhusu kilimo