Salamu wandugu,
Naomba kuuliza hawa Mkopa ni wa kweli au kama waongo tu wanasema wanafanya biashara ya kukopesha bidhaa basi wakanilainisha nikakubaliana nao lakini naona kama wana dalili ya utapeli.
Mwenye ufahamu nalo naomba mnifahamishe ndugu zanguni.