Mr connecter
Member
- Jul 13, 2023
- 16
- 4
MSAADA WA KUFAMU JAMBO KUHUSU MKOPO WA SELIKALI
Habali wanandugu;
Mimi ni kijana wa makamo naomba kuuliza jambo. Huwa nimesikia kuwa katika hii nchi yetu huwa inatoa mkopo kwa vijana kwa wajasilia Mali na wakulima vijana na fungu hilo lipo katika bajeti ya serikali na hupelekwa kwa kila mkoa katika halmashauli zake.
Sasa naomba kuuliza utaratibu wake unakuwaje na unaanzia wapi na vigezo vyake ni vipi na unakopa kwa muda gani na kiasi chake ni kipi na je una riba?
Msaada wenu nduguzangu🙏🙏🙏
Habali wanandugu;
Mimi ni kijana wa makamo naomba kuuliza jambo. Huwa nimesikia kuwa katika hii nchi yetu huwa inatoa mkopo kwa vijana kwa wajasilia Mali na wakulima vijana na fungu hilo lipo katika bajeti ya serikali na hupelekwa kwa kila mkoa katika halmashauli zake.
Sasa naomba kuuliza utaratibu wake unakuwaje na unaanzia wapi na vigezo vyake ni vipi na unakopa kwa muda gani na kiasi chake ni kipi na je una riba?
Msaada wenu nduguzangu🙏🙏🙏